Drc_ Kesi dhidi ya kiongozi wa waasi Corneille Nanga imeanzishwa rasmi Kinshasa
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mahakama ya Kijeshi ya Kinshasa-Gombe imefungua kesi dhidi ya Corneille Nangaa, ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Kizerbo Kasereka, ambaye ni m’bunge mstaafu wa nchi hiyo kutoka …
Ethiopia_ Idadi ya vifo kutokana na maporomoko ya ardhi imeongezeka Ethiopia
Idadi ya waliofariki kutokana na maporomoko ya udongo nchini Ethiopia mapema wiki hii imeongezeka hadi 257 na inatarajiwa kuongezeka maradufu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ilisema. Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.
Sudan_ Marekani imealika jeshi la Sudan na vikosi vya waasi kwa mazungumzo
Marekani imealika jeshi la Sudan, na Vikosi vya Msaada wa Haraka vya kijeshi kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayosimamiwa na Marekani, kuanzia Agosti 14 mwaka huu nchini Uswisi. Manasse bin Bendera na ripoti kamili.
Uganda_ Mitandao ya kijamii yazimwa Uganda kwa nia ya kuzuia maandamano
Serikali ya Uganda imefunga mitandao ya kijamii ya Twitter na Facebook kwa nia ya kuzuia maandamano yanayoendelea nchini humo. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-Uganda, Abedi alimuuliza kama maandamano yalifanyika kwa mara nyingine tena h…
Kenya_ Waandamanaji wazuiliwa kuingia katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta
Waandamanaji nchini Kenya ambao walikuwa wamepanga kuandamana katika maeneo ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata nchini humo, wamezuiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-K…
Tanzania_ Wafanyabiashara wa Tanzania walalamikia utitiri wa tozo mipakani
Wafanyabiashara katika mipaka ya Kabanga, Rusumo na Mutukula nchini Tanzania, wameilalamikia serikali ya Tanzania kwa kutoweka mazingira wezeshi na rafiki, kwa wafanyabiashara wanaofanya biashara zinazovuka mpaka, hali inayochochea ukwepaji wa kodi ili kuepuka kufilisika. Mwandishi wetu Prosper Kw…
Sudan: Marekani kuisaidia Sudan dola milioni 203 kutatua matatizo ya kuisalama
Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Linda Thomas-Greenfield amesema Marekani inaahidi dola za kimarekani milioni 203 ili kushughulia tatizo la usalama mdogo nchini humo. Manasse bin Bendera na ripoti kamili.
Kenya: Rais wa Kenya William Ruto ametangaza baraza la mawaziri kumi na mmoja
Rais William Ruto ametangaza kumi na moja kati ya 22 katika baraza lake la mapato. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza Martin kama undani wa taarifa zenyewe ukoje, Martin alianza kwa dondoo zaidi.
Namibia_ Serkali imekataa ombi la kuongeza muda wa Visa kwa mfalme wa Uganda
Serikali ya Namibia imekataa ombi la kuongeza muda wa visa kwa mfalme wa Uganda ambaye amekuwa akipokea matibabu nchini humo tangu Aprili mwaka huu. Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.
Drc_ Marekani imekaribisha hatua ya usitishwaji vita kwa muda wa siku 15 Drc
Marekani imekaribisha makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda wa siku 15 zaidi kama njia mojawapo ya kuruhusu misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mashariki mwa DR Congo. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na M’bunge mstaafu wa Drc Kizerbo Kasereka kutoka Kinshasa nchini Drc, Abedi …