



Burundi - Vijana kupambana na uhaba wa ajira Burundi
Katika manisipaa ya Matana, Mkoa wa Bururi, vijana na wanawake wanakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo ukosefu wa ajira, umaskini, upatikanaji mdogo wa mitaji, na uhaba wa mbolea za kilimo. Ili kuboresha hali zao za maisha, wengi wao wameamua kujipanga katika vyama na ushirika kwa lengo la kuan…

Malawi - Kupanda kwa ada ya vyuo kumeleta mjadala mkubwa katika jamii nchini Malawi
Mjadala unaendelea nchini Malawi baada ya serikali, kupitia Wizara ya Elimu, kuongeza ada za masomo ya vyuo vikuu kutoka kwacha 650,000 hadi kwacha milioni 1.3 za Malawi. Hatua hiyo imezua maoni tofauti, huku wengi wakihofia kuwa inaweza kufanya elimu ya juu isiweze kufikiwa na wanafunzi wengi. M…

Drc- Wakazi wengi wa wilaya ya Kalehe watoa wa wito wa amani
Drc: Wakaazi wa vijiji mbalimbali wilayani kalehe mapakani mwa Kivu kusini na kaskazini wanaoshambuliwa na makundi yenye silaha waomba usalama kuimarishwa na kushindikizwa kimaisha kutokana na maisha magumu wanayopitia kutokana na machafuko mashariki mwa Congo kwa muda mrefu,wengi wao wakiwa wakul…

Bei ya mazao imepanda kutokana na mipaka kufungwa kwa sababu za Ebola
Wakulima wa Rutshuru, Kivu Kaskazini, wanakabiliwa na kushuka kwa bei za mazao kutokana na kudorora kwa biashara za mpakani na Uganda na Rwanda baada ya kufungwa kwa mipaka kufuatia mlipuko wa Ebola. Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide ametuandalia na kututumia ripoti ifuatayo.

Urusi iko tayari kusaidia Msumbiji kupambana na ugaidi
Urusi iko tayari kuisaidia Msumbiji kuondoa tishio la ugaidi linaloikabili nchi hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov, alisema jana Alhamisi. Manasse bin Bendera na ripoti kamili.

Waganda waliorejeshwa nyumbani watapewa mafunzo mbalimbali
Raia wa Uganda waliorejeshwa kutoka Afrika Kusini wiki iliyopita wamepelekwa katika Taasisi ya Kitaifa ya Uongozi kwa ajili ya kufundishwa itikadi ya chama tawala, masuala ya siasa, na namna ya kushiriki katika Mpango wa maendeleo. Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na aliyekuwa kiongozi wa …

Wasiwasi miongoni mwa wananchi kutoka na kuendelea kuwepo askari wa Rwanda
Kumekuwa na maoni mseto miongoni mwa wananchi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kuhusu nia ya Rwanda kuondoa vikosi vyake nchini humo. Hatua hiyo imeendelea kuzua wasiwasi na mjadala miongoni mwa wananchi wa DRC. Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Esaie Katasi kutoka Beni-Drc, yeye ni …

Drc - Upinzani waapa kufanya maandamano Julai 22 mwaka huu licha ya mazungumzo na Rais wa Burundi
Drc: Upinzani nchini DRC wasisitiza maandamano ya Julai 22 mwaka huu licha ya mazungumzo na rais wa Burundi. Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Esaie Katasi kutoka Beni-Drc, yeye ni mchambuzi wa masuala ya siasa, Abedi alimuuliza anazungumzaje kuhusiana na mkutano huo, Esaie Katasi alian…

Paris - Ulimwengu hii leo unaadhimisha siku ya Kiswahili
Paris-Ufaransa: Ulimwengu hii leo unaadhimisha Siku ya Kiswahili, huku lugha hiyo ikiendelea kuimarika kimataifa. Mwandishi wetu Gabriel Zakaria na ripoti kamili.

Kituo kipya cha Ebola chazinduliwa Beni
Kituo cha kisasa cha kupambana na virusi hatari vya Ebola kimezinduliwa mjini Beni mashariki mwa Drc, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na ongezeko la visa na maambukizi ya ugonjwa huo. Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti kamili.