

Kenya_ Idadi ya Wakenya waliuawa katika vita vya Urusi na Ukraine yafika 16
Kenya: Serikali ya Kenya imesema Wakenya 16 wamepotea nchini Urusi baada ya kujiunga na jeshi lake, huku wengine 47 wakirejea nyumbani kutoka vita vya Ukraine.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza kama…

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
Uganda: Kauli ya mkuu wa majeshi ya Uganda imezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kuitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mmwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-uagnda, Abedi alimuuliza kama kauli ya mkuu wa majeshi ya Uganda kuitaka Ir…

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
Drc: Toleo la tatu la Jukwaa la Uchumi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Angola limefunguliwa Jumatano, Aprili Mosi 2026 mjini Kinshasa, likiwakutanisha viongozi wa kisiasa, wataalamu na wafanyabiashara kutoka nchi zote mbili.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mbunge mstaafu wa D…

Burundi_ Jeshi la Burundi limetoa idadi ya maafa ya mlipuko wa ghala la kijeshi
Burundi: Watu 13 wamefariki na 57 kujeruhiwa, wakiwemo askari watatu. Majengo pamoja na vifaa vya kijeshi na kiraia vimeharibika, huku baadhi ya miundombinu ya kijeshi ikiteketea kwa moto uliosababishwa na milipuko ya silaha kwenye ghala la jeshi mjini Bujumbura.Mwanahabari wetu Balen Havyarimana a…

Burundi_ Ghala ya zana za kijeshi ya jeshi la Burundi yawaka moto
Burundi: Mlipuko mkubwa umeripotiwa katika ghala la zana za kijeshi Bujumbura nchini Burundi, baada ya moto unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme kusababisha mabomu kulipuka. Mwandishi wetu Balen Havyarimana na mengi zaidi.

Senegal_ Rais wa Senegal atia saini sheria ya ushoga
Senegal: Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ametia saini sheria mpya inayolenga kupambana na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, hatua inayozua mjadala mpana ndani na nje ya nchi. Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.

Uganda_ Serkali imetoa makataa ya siku 20 kwa magari chakavu Kampala
Mamlaka ya jiji la Kampala imetoa makataa ya siku 20 kwa wamiliki wa magari ya usafiri wa umma kuondoa magari chakavu barabarani, ikilenga kupunguza ajali na uchafuzi wa hewa. Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.

Kenya_ Shirika la Oxfam lasema hakuna uwazi wa fedha za ufadhili wa tabianchi
Ripoti ya Oxfam inaonyesha kuwa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado unakabiliwa na changamoto, zikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii na utegemezi mkubwa wa fedha za nje. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, yeye ni mchambuzi wa masuala ya si…

Drc_ Jeshi la Drc lazindua msako dhidi ya wanamgambo kutoka wa Rwanda wa FDLR
Jeshi la Drc limetangaza kuanza msako dhidi ya wapiganaji wa FDLR katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini humo.Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti kamili Beni-Drc.

Afrika Kusini_ Ongezeko la bei ya machungwa kutoka na ongezeko la bei ya mafuta
Wakulima wa machungwa Afrika Kusini, wanaripoti uhaba mdogo wa dizeli huku wakijiandaa na kupanda kwa bei ya mafuta, hali inayoweza kuathiri msimu wa usafirishaji wa matunda nje unaoanza Aprili.Manasse bin Bendera na ripoti kamili.