

Drc_ Uongozi wa M23 waweka makataa ili kupambana na Ebola
Drc: Uongozi wa AFC-M23 katika mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Drc, umechukua hatua kali dhidi ya wasafiri wanaotoka katika maeneo yanayodhibitiwa na serikali, ambako mlipuko wa Ebola unaendelea kwa sasa. Mwandishi wetu Austere Malivika na ripoti kamili.

Afrika Leo_ Changamoto ya afya ya uzazi
Afrika Leo: Mada ya leo ni kuhusu afya ya uzazi kwa wanawake barani Afrika, ni kwamba: Afya ya uzazi na haki za wanawake barani Afrika ziko katika njia panda. Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara inaendelea kuwa miongoni mwa maeneo yenye viwango vya juu vya utoaji mimba usio salama duniani. Mwanaha…

Makundi ya waasi yaungana kwa lengo la kuangusha utawala wa waziri mkuu Abiy Ahmed
Kiongozi wa Fano amesema makundi yenye silaha yameunda muungano kwa lengo la kushirikiana katika juhudi za kumuondoa madarakani waziri mkuu Abiy Ahmed. Awali Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Coletta Wanjohi, Abedi alimuuliza maamuzi hayo ya Fano yanatokana na nini, Colett…

Mawakili wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye wajiondoa katika kesi inayomkabili
Mawakili wanaomwakilisha mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Dkt. Kizza Besigye, wamejiondoa katika kesi yake wakisema wanahofia usalama wao na uwezekano wa kukamatwa. Awali, Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na aliyekuwa Mkurugenzi wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, Mzee Mike Arer…

Afrika Kusini_ Wakongo wawili waliotaka kuingia katika mkutano wa SADC mahakaman
Afrika Kusini: Raia wawili wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wanaotuhumiwa kujaribu kuingia bila kibali katika Mkutano wa SADC uliofanyika mwezi huu mjini Durban, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Durban. Manasse bin Bendera alifanya mahojiano na Chris Kashindi, mchambuzi wa masu…

Malawi_ Wakimbizi katika kambi ya wakimbizi ya Dzaleka wanapitia changamoto nyin
Malawi: Wakimbizi katika kambi ya Dzaleka nchini Malawi wanakabiliwa na changamoto kubwa za kibinadamu, ikiwemo uhaba mkubwa wa chakula. Awali, Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Ally Musangwa, ambaye ni mkimbizi katika kambi ya Dzaleka. Abedi alimuuliza kuhusu hali ya maisha kwa ujumla ka…

Drc_ Wagonjwa 19 wa Ebola wametoroka katika vituo vya matibabu
Drc: Wagonjwa 19 waliopokelewa katika vituo mbalimbali vya matibabu ya Ebola wametoroka katika mkoa wa Kivu Kaskazini, huku visa na vifo vinavyotokana vikiendelea kuongezeka. Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti ifuatayo.

Afrika Kusini_ Zimbabwe imeikabidhi Afrika Kusini uenyekiti wa SADC
Afrika Kusini: Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amemkabidhi Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC. Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Chris Kashindi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Durban, Afrika Kusini. Katika mah…

Afrika Kusini_ Mkutanbo wa 46 wa SADC unaendelea mjini Durban
Afrika Kusini: Viongozi kadhaa wamewasili Durban, Afrika Kusini, kwa Mkutano wa 46 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC, ambapo masuala ya amani na usalama yanatarajiwa kutawala majadiliano. Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Kapele Mutachi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa ku…

Uganda_ Wanajeshi wa Uganda wataendelea kusalia Somalia
Uganda: Waziri wa Ulinzi wa Uganda, Kiryowa Kiwanuka, amesema wanajeshi wa Uganda wataendelea kubaki nchini Somalia licha ya kutokuwa na uhakika wa ufadhili, akitaja makubaliano ya usalama ya pande mbili kati ya Kampala na Mogadishu. Manasse bin Bendera na ripoti kamili.