

Tanzania - Tanzania kunufaika kwa kiasi kikubwa na akiba yake ya dhahabu
Tanzania: Tanzania inaelekea kunufaika na kupanda kwa kiwango kikubwa kwa bei ya dhahabu duniani. Ayam Shekifu alifanya mahojinao na mwandishi wa habari wa kujitegemea Wilberforce Ngoto kutoka Dar es salaam-Tanzania, ambapo Wilberforce Ngoto alianza kwa kufafanua zaidi kuhusiana na taarifa hii.

Drc - Ugonjwa wa Ebola unaendelea kuleta hofu na kusababisha uchumi kudorora Drc
Drc: Visa vya Ebola vinaendelea kuongezeka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, hali inayosababisha hofu kubwa miongoni mwa wananchi huku shughuli za kiuchumi zikiendelea kudorora. Mwandishi wa habari wa kujitegema Germain Hassan Kyahwere ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Beni-Drc.

Afrika Kusini - Ghana yaanza kurejesha wananchi wake kutoka Afrika Kusini
Afrika Kusini: Serikali ya Ghana imeanza leo kuwarejesha raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya wahamiaji nchini hapa. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Asokolo Itabelo, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mkazi wa jiji la Durban, Abedi alimuuli…

Drc - Shirika la kikristo la Samaritan's purse litajenga kituo cha Ebola hivi karibuni Drc
Drc: Shirika la misaada la Kikristo la “Samaritan’s Purse”, linatarajia kufungua ndani ya wiki moja kituo cha Ebola chenye uwezo wa vitanda 50 kaskazini mashariki mwa Drc. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Dieu Donne Lossa, yeye ni mwenyekiti wa mashirika ya kiraia kutoka Bunia mkoani It…

Kenya_ Mkuu wa jeshi aagiza mabadiliko katika vikosi vya ulinzi wa Rais
Mkuu wa polisi nchini Kenya ameagiza mabadiliko makubwa katika kikosi cha usalama cha Rais William Ruto baada ya mwanaume mmoja kuvuka ulinzi na kumfikia rais wakati alipokuwa akihutubia wafuasi wake Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa …

Drc_ Serkali ya Drc yapiga marufuku uchimbaji wa madini kwa miezi mitatu
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeweka marufuku ya muda wa miezi mitatu kwa shughuli za uchimbaji madini katika baadhi ya maeneo ya Jimbo la Kivu Kusini, kwa mujibu wa waraka wa Wizara ya Madini. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Andre Byadunia, ambaye ni mwenyekiti wa mashirika ya kir…

Tanzania - Urejeshaji wa mazingira katika kambi za wakimbizi zilizofunga Tanzania
Tanzania: Serikali ya Tanzania kupitia mfuko wa Dunia wa mabadiliko ya tabia nchi wameanza hatua za awali za kupanda miti na kuhamasisha kilimo mseto katika maeneo ambayo yameathiriwa na uwepo wa wakimbizi, ili kuwajengea uwezo wananchi kuhimili mabadiliko ya tabia nchi maggharibi mwa Tanzania. …

Drc - Ugonjwa wa Ebola waendelea kuuwa nchini Drc
Drc: Zaidi ya visa 900 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola, vikiwemo visa 101 vilivyothibitishwa, vimetambuliwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Mwandishi wa habari wa kujitegemea Germain Hassan Kyahwere na ripoti kamili.

Rwanda_ Rwanda imesaini mkataba wa kijeshi na Urusi
Rwanda: Rwanda na Russia zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na kiufundi katika sekta ya ulinzi. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Sylvanus Karemera kutoka Kigali-Rwanda, Abedi alimuuliza ni kwa nini hatua hii imekuja baada ya Marekani kuliwekea vikwazo jeshi l…

Kenya_ Rais Ruto amelihutubia taifa kutokana na ongezeko la bei ya mafuta
Kenya: Rais William Ruto wa Kenya amewahakikishia Wakenya kuwa nchi haikabiliwi na uhaba wa mafuta licha ya hofu inayoongezeka iliyochochewa na kupanda kwa bei ya mafuta. Mwandishi wetu Diana Wanyonyi na ripoti kamili.