

Uganda - Serkali ya Uganda kuanza kununua dhahabu mwezi huu
Uganda: Benki Kuu ya Uganda itaanza mwezi huu mpango wa kununua dhahabu ndani ya nchi, ikiungana na mataifa mengine duniani yanayoongeza akiba ya dhahabu kufuatia kupanda kwa bei ya madini hayo. Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-Uganda, A…

AU - Tahadhari kuhusu mataifa ya Afrika kukubwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiuchumi
AU: Wataalamu wa masuala ya kimataifa wanaonya kuwa nchi za Afrika huenda zikaanza kuhisi athari barani humo, hasa katika bei za mafuta, gharama za chakula na uhusiano wa kidiplomasia. Kulichambua hili Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Navile Meena, ambaye ni mchambuzi huru kutoka Dar es salaam-T…

Waziri mkuu wa zamani wa Tunisia Ali Layaredh ahukumiwa 24 jela
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tunisia, Ali Larayedh, amehukumiwa kifungo cha miaka 24 jela kwa tuhuma za kuwezesha raia wa Tunisia kusafiri kwenda Syria kujiunga na makundi ya kijihadi katika muongo uliopita. Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.

M23 watoa wito kwa wakazi wa Ishasha kujitenga na wanamgambo wa FDLR
Viongozi wa Mkoa wa Kivu Kaskazini – Drc, katika maeneo yanayodhibitiwa na M23, wametoa wito kwa wakaazi wa mji wa mpakani wa Ishasha, ulioko kwenye mpaka kati ya Uganda na Drc, kujitenga na wapiganaji wa FDLR wanaodaiwa kupiga kambi katika hifadhi ya Taifa ya Virunga. Mwandishi wetu Austere Malivi…

Ethiopia_ Rais wa Israeli yuko katika ziara ya kikazi nchini Ethiopia
Ethiopia: Rais wa Israeli Isaac Herzog amewasili Addis Ababa nchini Ethiopia hii leo, kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini humo.Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.

Afrika Kusini_ Serikali kupendekeza mfumo wa kusimamia nidhamu ya fedha za umma.
Afrika Kusini: Serikali ya Afrika Kusini imesema katika bajeti yake ya mwaka kuwa itapendekeza mfumo wa kusimamia nidhamu ya fedha za umma.Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Kapele Mutachi, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya Uchumi kutoka Durban hapa nchini, Abedi alimuuliza kama nini mtazamo wake k…

Chad imefunga mpaka wake na Sudan
Chad imefunga mpaka wake wa mashariki na Sudan, kufuatia mapigano ya mwishoni mwa wiki yaliyochochewa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan, ambapo wanajeshi watano wa Chad waliuawa.Manasse bin Bendera na mengi zaidi.

Vikao vya kiusalama kuhusu kupambana na ADF vimeanza hii leo Beni
Mikutano maalum imeanza Jumatatu hadi Jumatano wiki hii mjini Beni, kupitia harakati za Gavana wa Kivu Kaskazini Jemadari Eva Somo, kujadili suala nyeti la waasi wa ADF, kufuatia miaka ya mauaji na juhudi zisizozaa matunda. Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti kamili kutoka Beni-Drc.

Kenya_ Urusi yapinga kuwasajili wakenya jeshini
Kenya: Serikali ya Urusi imekanusha ripoti ya kiintelijensia iliyowasilishwa bungeni ikidai kuwa zaidi ya Wakenya 1,000 wamesajiliwa kujiunga na jeshi la nchi hiyo.Mwandishi wetu Luke Wasike na ripoti kamili kutoka Nairobi-Kenya

Drc_ Wakazi wa mpya wa Uvira waomba serkali kufungua mpaka wake na Burundi
Drc: Wakazi wa mji wa Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wanaitaka serikali kufungua haraka mpaka kati ya nchi hiyo na Burundi ili kurahisisha shughuli za kijamii na kiuchumi.Awali Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wa habari wa kujitegemea Thomson Undji, Abedi…