Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Vikao vya kiusalama kuhusu kupambana na ADF vimeanza hii leo Beni

View descriptionShare

Mikutano maalum imeanza Jumatatu hadi Jumatano wiki hii mjini Beni, kupitia harakati za Gavana wa Kivu Kaskazini Jemadari Eva Somo, kujadili suala nyeti la waasi wa ADF, kufuatia miaka ya mauaji na juhudi zisizozaa matunda.
Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti kamili kutoka Beni-Drc.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,420 clip(s)