Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola

View descriptionShare

Drc: Toleo la tatu la Jukwaa la Uchumi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Angola limefunguliwa Jumatano, Aprili Mosi 2026 mjini Kinshasa, likiwakutanisha viongozi wa kisiasa, wataalamu na wafanyabiashara kutoka nchi zote mbili.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mbunge mstaafu wa Drc Mhe. Kizerbo Kasereka kutoka Kinshasa-Drc, Abedi alimuuliza kama kongamano hili lina umuhimu gani katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya DRC na Angola, Mhe. Kizerbo Kasereka alianza kwa kuelezea.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,460 clip(s)