Burundi: Watu 13 wamefariki na 57 kujeruhiwa, wakiwemo askari watatu. Majengo pamoja na vifaa vya kijeshi na kiraia vimeharibika, huku baadhi ya miundombinu ya kijeshi ikiteketea kwa moto uliosababishwa na milipuko ya silaha kwenye ghala la jeshi mjini Bujumbura.Mwanahabari wetu Balen Havyarimana ana ripoti kamili kutoka Bujumbura-Burundi.

Kenya_ Idadi ya Wakenya waliuawa katika vita vya Urusi na Ukraine yafika 16
06:02

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
05:28

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
04:44