Afrika Kusini: Serikali ya Afrika Kusini imesema katika bajeti yake ya mwaka kuwa itapendekeza mfumo wa kusimamia nidhamu ya fedha za umma.Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Kapele Mutachi, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya Uchumi kutoka Durban hapa nchini, Abedi alimuuliza kama nini mtazamo wake kuhusiana na taarifa hii, Kapele Mutachi alianza kwa kujibu.

Uganda - Serkali ya Uganda kuanza kununua dhahabu mwezi huu
05:04

AU - Tahadhari kuhusu mataifa ya Afrika kukubwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiuchumi
06:24

Waziri mkuu wa zamani wa Tunisia Ali Layaredh ahukumiwa 24 jela
05:03