Viongozi wa Mkoa wa Kivu Kaskazini – Drc, katika maeneo yanayodhibitiwa na M23, wametoa wito kwa wakaazi wa mji wa mpakani wa Ishasha, ulioko kwenye mpaka kati ya Uganda na Drc, kujitenga na wapiganaji wa FDLR wanaodaiwa kupiga kambi katika hifadhi ya Taifa ya Virunga.
Mwandishi wetu Austere Malivika na ripoti kamili kutoka Drc.

Uganda - Serkali ya Uganda kuanza kununua dhahabu mwezi huu
05:04

AU - Tahadhari kuhusu mataifa ya Afrika kukubwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiuchumi
06:24

Waziri mkuu wa zamani wa Tunisia Ali Layaredh ahukumiwa 24 jela
05:03