Mikutano maalum imeanza Jumatatu hadi Jumatano wiki hii mjini Beni, kupitia harakati za Gavana wa Kivu Kaskazini Jemadari Eva Somo, kujadili suala nyeti la waasi wa ADF, kufuatia miaka ya mauaji na juhudi zisizozaa matunda.
Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide na ripoti kamili kutoka Beni-Drc.

Uganda - Serkali ya Uganda kuanza kununua dhahabu mwezi huu
05:04

AU - Tahadhari kuhusu mataifa ya Afrika kukubwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiuchumi
06:24

Waziri mkuu wa zamani wa Tunisia Ali Layaredh ahukumiwa 24 jela
05:03