Uganda: Benki Kuu ya Uganda itaanza mwezi huu mpango wa kununua dhahabu ndani ya nchi, ikiungana na mataifa mengine duniani yanayoongeza akiba ya dhahabu kufuatia kupanda kwa bei ya madini hayo.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-Uganda, Abedi alimuuliza ni kwa nini benki kuu ya Uganda imeamua kuanza mpango huo, Cassius alianza kwa kufafanua zaidi.

AU - Tahadhari kuhusu mataifa ya Afrika kukubwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiuchumi
06:24

Waziri mkuu wa zamani wa Tunisia Ali Layaredh ahukumiwa 24 jela
05:03

M23 watoa wito kwa wakazi wa Ishasha kujitenga na wanamgambo wa FDLR
06:13