Kenya: Serikali ya Kenya imesema Wakenya 16 wamepotea nchini Urusi baada ya kujiunga na jeshi lake, huku wengine 47 wakirejea nyumbani kutoka vita vya Ukraine.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza kama kupotea kwa Wakenya 16 nchini Urusi kunaleta funzo gani kwa wakenya, Martin Wren alianza kwa kutoa mtazamo wake.

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
05:28

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
04:44

Burundi_ Jeshi la Burundi limetoa idadi ya maafa ya mlipuko wa ghala la kijeshi
04:29