Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba

View descriptionShare

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
1,326 clip(s)
Loading playlist

Uganda: Kauli ya mkuu wa majeshi ya Uganda imezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kuitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mmwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-uagnda, Abedi alimuuliza kama kauli ya mkuu wa majeshi ya Uganda kuitaka Iran kuomba radhi, ni ya kawaida kidiplomasia au imevuka mipaka, Cassius alianza kwa kuelezea. 

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,460 clip(s)