Senegal: Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ametia saini sheria mpya inayolenga kupambana na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, hatua inayozua mjadala mpana ndani na nje ya nchi.
Abedi Jean dela croix na ripoti kamili.

Kenya_ Idadi ya Wakenya waliuawa katika vita vya Urusi na Ukraine yafika 16
06:02

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
05:28

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
04:44