Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Kenya_ Shirika la Oxfam lasema hakuna uwazi wa fedha za ufadhili wa tabianchi

View descriptionShare

Ripoti ya Oxfam inaonyesha kuwa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado unakabiliwa na changamoto, zikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii na utegemezi mkubwa wa fedha za nje.

Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, yeye ni mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza kama ni sababu zipi kuu zinazosababisha ukosefu wa uwazi katika matumizi ya fedha za mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya, Martin Wren alianza kwa kueleza.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,460 clip(s)