Kenya: Rais William Ruto wa Kenya amewahakikishia Wakenya kuwa nchi haikabiliwi na uhaba wa mafuta licha ya hofu inayoongezeka iliyochochewa na kupanda kwa bei ya mafuta.
Mwandishi wetu Diana Wanyonyi na ripoti kamili.

Tanzania - Tanzania kunufaika kwa kiasi kikubwa na akiba yake ya dhahabu
05:52

Drc - Ugonjwa wa Ebola unaendelea kuleta hofu na kusababisha uchumi kudorora Drc
05:17

Afrika Kusini - Ghana yaanza kurejesha wananchi wake kutoka Afrika Kusini
06:04