Afrika Kusini: Serikali ya Ghana imeanza leo kuwarejesha raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya wahamiaji nchini hapa.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Asokolo Itabelo, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mkazi wa jiji la Durban, Abedi alimuuliza kama amepokeaje hatua hiyo ambayo imechukuliwa na serkali ya Ghana, Asokolo alianza kwa kutoa mtazamo wake.

Tanzania - Tanzania kunufaika kwa kiasi kikubwa na akiba yake ya dhahabu
05:52

Drc - Ugonjwa wa Ebola unaendelea kuleta hofu na kusababisha uchumi kudorora Drc
05:17

Drc - Shirika la kikristo la Samaritan's purse litajenga kituo cha Ebola hivi karibuni Drc
05:16