Drc: Visa vya Ebola vinaendelea kuongezeka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, hali inayosababisha hofu kubwa miongoni mwa wananchi huku shughuli za kiuchumi zikiendelea kudorora.
Mwandishi wa habari wa kujitegema Germain Hassan Kyahwere ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Beni-Drc.

Tanzania - Tanzania kunufaika kwa kiasi kikubwa na akiba yake ya dhahabu
05:52

Afrika Kusini - Ghana yaanza kurejesha wananchi wake kutoka Afrika Kusini
06:04

Drc - Shirika la kikristo la Samaritan's purse litajenga kituo cha Ebola hivi karibuni Drc
05:16