Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Kenya_ Mkuu wa jeshi aagiza mabadiliko katika vikosi vya ulinzi wa Rais

View descriptionShare
 

Mkuu wa polisi nchini Kenya ameagiza mabadiliko makubwa katika kikosi cha usalama cha Rais William Ruto baada ya mwanaume mmoja kuvuka ulinzi na kumfikia rais wakati alipokuwa akihutubia wafuasi wake

Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza kama mwanaume huyo aliwezaje kuvuka ulinzi wa Rais, Martin Wren alianza kwa kufafanua zaidi.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,518 clip(s)