Ethiopia: Afrika Kusini imechaguliwa na nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kuhudumu kwa muhula wa miaka miwili katika Baraza la Amani na Usalama la chombo hicho cha bara.
Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Nixon Katembo, Ayam alimuuliza ni masuala gani ambayo Afrika Kusini itayapa kipaumbele, Nixon alianza kwa kujibu.

Kenya_ Idadi ya Wakenya waliuawa katika vita vya Urusi na Ukraine yafika 16
06:02

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
05:28

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
04:44