Burundi: Mlipuko mkubwa umeripotiwa katika ghala la zana za kijeshi Bujumbura nchini Burundi, baada ya moto unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme kusababisha mabomu kulipuka.
Mwandishi wetu Balen Havyarimana na mengi zaidi.

Kenya_ Idadi ya Wakenya waliuawa katika vita vya Urusi na Ukraine yafika 16
06:02

Uganda_ Muhoozi Kainerugaba imeitaka Iran kuomba radhi ndani ya siku saba
05:28

Drc_ Kongamano la kiuchumi kati ya Drc na Angola
04:44