Mkutano wa 7 wa Jukwaa la Uongozi wa Utalii Afrika 2024 unaowaleta pamoja viongozi wa sekta ya utalii umemalizika hii leo Gaborone, Botswana.
Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Devota Mdachi, ambaye ni mjasiriamali na alihudhuria kongamano hilo kutoka Gaborone-Botswana, Devota alianza kwa kutoa taswira kuhusu kongomano hilo.

Rais wa Tanzania atoa wito wa mfumo wa kodi
05:38

Umoja wa Mataifa na UNICEF waomba wafanyakazi wao kulindwa Goma
05:56

Marekani imewaalika wakuu wa serkali wa Drc na Rwanda
05:40