Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ametoa wito mkubwa wa mfumo wa kodi wa haki, uwazi, na thabiti ulioundwa ili kuondoa ukandamizaji dhidi ya walipa kodi huku ukikuza ukuaji wa uchumi.Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Jerry Muro, yeye ni mchambuzi wa siasa za kimataifa kutoka Tanzania, Ayam alimuuliza kama taarifa hizi zikoje, Jerry Muro alianza kwa kufafanua zaidi.

Umoja wa Mataifa na UNICEF waomba wafanyakazi wao kulindwa Goma
05:56

Marekani imewaalika wakuu wa serkali wa Drc na Rwanda
05:40

Rais Denis Sassou Nguesso amechaguliwa kwa kishindo
02:41