Marekani imewaita viongozi wakuu wa DRC na Rwanda mjini Washington nchini Marekani, kwa mazungumzo kuhusu mchakato wa amani uliokwama mashariki mwa Drc.Ayam Shekifu alifanya mahojiano na Omar Kavota, ambaye ni mchambuzi wa siasa za Drc na maziwa makuu kutoka Beni-Drc, ambapo Omar Kavota alianza kwa kufafanua zaidi kuhusiana na taarifa hii.

Rais wa Tanzania atoa wito wa mfumo wa kodi
05:38

Umoja wa Mataifa na UNICEF waomba wafanyakazi wao kulindwa Goma
05:56

Rais Denis Sassou Nguesso amechaguliwa kwa kishindo
02:41