A news and current affairs show produced live by the current affairs team.
1,066 clip(s)
Loading playlist
Zaidi ya watu 50 wakiwemo raia, wameuawa katika mashambulio ya angani yanayosemekana kutekelezwa na vikosi vya anga vya Ethiopia, katika soko moja karibu na mji mkuu wa Jimbo la Tigray, Mekelle