Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Waganda waliorejeshwa nyumbani watapewa mafunzo mbalimbali

View descriptionShare
 

Raia wa Uganda waliorejeshwa kutoka Afrika Kusini wiki iliyopita wamepelekwa katika Taasisi ya Kitaifa ya Uongozi kwa ajili ya kufundishwa itikadi ya chama tawala, masuala ya siasa, na namna ya kushiriki katika Mpango wa maendeleo.
Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na aliyekuwa kiongozi wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, Mzee Mike Arereng, kutoka Kampala, Uganda.
Abedi alimuuliza sababu zilizoifanya serikali kuchukua maamuzi hayo, Akijibu swali hilo, Mzee Mike Arereng alianza kwa kufafanua kwamba...

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,569 clip(s)