Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Urusi imesema haitoajiri waKenya kuigana upande wake Ukraine

View descriptionShare

Waziri wa mambo ya nje wa Kenya amesema Urusi imekubali kusitisha kuwatuma raia wa Kenya kupigana katika vita vya Ukraine, kufuatia mazungumzo yaliyofanyika Moscow.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza kama taarifa hizi zikoje kiundani, Martin Wren alianza kwa kueleza.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,434 clip(s)