Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Maandamano ya kupinga mashambulizi ya drone yafanyika Goma

View descriptionShare

Maelfu ya wakazi wa mji wa Goma wameandamana jana Alkhamisi hadi katika ofisi za Umoja wa Mataifa, MONUSCO, kupinga mashambulizi ya ndege zisizo na rubani, maarufu kama drone.
Mwandishi wetu Austere Malivika na ripoti kamili kutoka Goma-Drc.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,434 clip(s)