Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Uganda_ Wanajeshi wa Uganda wataendelea kusalia Somalia

View descriptionShare
 

Uganda: Waziri wa Ulinzi wa Uganda, Kiryowa Kiwanuka, amesema wanajeshi wa Uganda wataendelea kubaki nchini Somalia licha ya kutokuwa na uhakika wa ufadhili, akitaja makubaliano ya usalama ya pande mbili kati ya Kampala na Mogadishu.


Manasse bin Bendera na ripoti kamili.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,619 clip(s)