Kiongozi wa Fano amesema makundi yenye silaha yameunda muungano kwa lengo la kushirikiana katika juhudi za kumuondoa madarakani waziri mkuu Abiy Ahmed.
Awali Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Coletta Wanjohi, Abedi alimuuliza maamuzi hayo ya Fano yanatokana na nini, Coletta alianza kwa kufafanua zaidi.

Drc_ Uongozi wa M23 waweka makataa ili kupambana na Ebola
06:29

Afrika Leo_ Changamoto ya afya ya uzazi
11:01

Mawakili wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye wajiondoa katika kesi inayomkabili
06:27