Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Linda Thomas-Greenfield amesema Marekani inaahidi dola za kimarekani milioni 203 ili kushughulia tatizo la usalama mdogo nchini humo.
Manasse bin Bendera na ripoti kamili.
Darubini ya Afrika (Kiswahili)
600 clip(s)
Drc_ Kesi dhidi ya kiongozi wa waasi Corneille Nanga imeanzishwa rasmi Kinshasa
Ethiopia_ Idadi ya vifo kutokana na maporomoko ya ardhi imeongezeka Ethiopia
Sudan_ Marekani imealika jeshi la Sudan na vikosi vya waasi kwa mazungumzo