Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mahakama ya Kijeshi ya Kinshasa-Gombe imefungua kesi dhidi ya Corneille Nangaa, ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Kizerbo Kasereka, ambaye ni m’bunge mstaafu wa nchi hiyo kutoka Kinshasa nchini humo, Abedi alimuuliza kama Corneille Nanga anashtakiwa kwa lipi, Kizerbo alianza kwa kujibu.