Wakazi wa wilaya ya Masisi mashariki mwa Drc, waendelea kuishi katika hali ya wasiwasi kufuatia mashambulizi ya ndege za kivita za serkali ya Kinshasa. Mwandishi wetu Austere Malivika na ripoti kamili kutoka Goma-Drc.

Ethiopia yakamata shehena ya silaha kutoka Eritrea
05:39

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anaongoza kati matokeo ya awali
06:08

Waasi wa MPRD wapigana na jeshi la serkali la kusababisha maafa
04:09