Polisi nchini Ethiopia wanasema wamekamata maelfu ya risasi zilizodaiwa kutumwa na Eritrea kwa kundi mojawapo la waasi. Abedi Jean dela croix na dondoo zaidi.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anaongoza kati matokeo ya awali
06:08

Waasi wa MPRD wapigana na jeshi la serkali la kusababisha maafa
04:09

Serkali ya Drc imetembelea wakimbizi Nyarugusu Kigoma
06:31