Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Mawakili wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye wajiondoa katika kesi inayomkabili

View descriptionShare
 

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
1,482 clip(s)
Loading playlist

 Mawakili wanaomwakilisha mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Dkt. Kizza Besigye, wamejiondoa katika kesi yake wakisema wanahofia usalama wao na uwezekano wa kukamatwa.

Awali, Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na aliyekuwa Mkurugenzi wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, Mzee Mike Arereng, kutoka Kampala, Uganda.

Abedi alimuuliza ni nini hasa kimewafanya mawakili wa Dkt. Kizza Besigye kuhofia uwezekano wa kukamatwa; Mzee Mike Arereng alianza kwa kueleza.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,619 clip(s)