Malawi: Wakimbizi katika kambi ya Dzaleka nchini Malawi wanakabiliwa na changamoto kubwa za kibinadamu, ikiwemo uhaba mkubwa wa chakula.
Awali, Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Ally Musangwa, ambaye ni mkimbizi katika kambi ya Dzaleka.
Abedi alimuuliza kuhusu hali ya maisha kwa ujumla katika kambi hiyo ya wakimbizi ya Dzaleka; Ally hakusita kuelezea kwa kina hali halisi ya maisha katika kambi hiyo.

Drc_ Uongozi wa M23 waweka makataa ili kupambana na Ebola
06:29

Afrika Leo_ Changamoto ya afya ya uzazi
11:01

Makundi ya waasi yaungana kwa lengo la kuangusha utawala wa waziri mkuu Abiy Ahmed
06:01