Mjadala unaendelea nchini Malawi baada ya serikali, kupitia Wizara ya Elimu, kuongeza ada za masomo ya vyuo vikuu kutoka kwacha 650,000 hadi kwacha milioni 1.3 za Malawi.
Hatua hiyo imezua maoni tofauti, huku wengi wakihofia kuwa inaweza kufanya elimu ya juu isiweze kufikiwa na wanafunzi wengi.
Mwandishi wetu Ruchard Mwafulirwa na ripoti ifuatayo.

Burundi - Vijana kupambana na uhaba wa ajira Burundi
06:46

Drc- Wakazi wengi wa wilaya ya Kalehe watoa wa wito wa amani
05:24

Bei ya mazao imepanda kutokana na mipaka kufungwa kwa sababu za Ebola
04:22