Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Kenya_ Waandamanaji wazuiliwa kuingia katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta

View descriptionShare

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
600 clip(s)
Loading playlist

Waandamanaji nchini Kenya ambao walikuwa wamepanga kuandamana katika maeneo ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata nchini humo, wamezuiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo.

Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-Kenya, Martin Wren alianza kwa kutoa taswira kuhusu sakata nzima la maandamano katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyetta nchini Kenya.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

  1. Darubini ya Afrika (Kiswahili)

    600 clip(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 731 clip(s)