Rais William Ruto ametangaza kumi na moja kati ya 22 katika baraza lake la mapato.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Martin Wren, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Nairobi-Kenya, Abedi alimuuliza Martin kama undani wa taarifa zenyewe ukoje, Martin alianza kwa dondoo zaidi.