Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Drc - Upinzani waapa kufanya maandamano Julai 22 mwaka huu licha ya mazungumzo na Rais wa Burundi

View descriptionShare
 

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
1,433 clip(s)
Loading playlist

Drc: Upinzani nchini DRC wasisitiza maandamano ya Julai 22 mwaka huu licha ya mazungumzo na rais wa Burundi.

Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Esaie Katasi kutoka Beni-Drc, yeye ni mchambuzi wa masuala ya siasa, Abedi alimuuliza anazungumzaje kuhusiana na mkutano huo, Esaie Katasi alianza kwa kutoa mtazamo wake.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,569 clip(s)