Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeweka marufuku ya muda wa miezi mitatu kwa shughuli za uchimbaji madini katika baadhi ya maeneo ya Jimbo la Kivu Kusini, kwa mujibu wa waraka wa Wizara ya Madini.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Andre Byadunia, ambaye ni mwenyekiti wa mashirika ya kiraia tarafani Uvira-Kivu Kusini, Abedi alimuuliza kama taarifa zenyewe zikoje kiundani, Andre Byadunia alianza kwa kuelezea.

Tanzania - Tanzania kunufaika kwa kiasi kikubwa na akiba yake ya dhahabu
05:52

Drc - Ugonjwa wa Ebola unaendelea kuleta hofu na kusababisha uchumi kudorora Drc
05:17

Afrika Kusini - Ghana yaanza kurejesha wananchi wake kutoka Afrika Kusini
06:04