Marekani imekaribisha makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda wa siku 15 zaidi kama njia mojawapo ya kuruhusu misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mashariki mwa DR Congo.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na M’bunge mstaafu wa Drc Kizerbo Kasereka kutoka Kinshasa nchini Drc, Abedi alimuuliza kama amepokeaje taarifa hizo, Kizerbo alianza kwa kujibu.