Katika manisipaa ya Matana, Mkoa wa Bururi, vijana na wanawake wanakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo ukosefu wa ajira, umaskini, upatikanaji mdogo wa mitaji, na uhaba wa mbolea za kilimo.
Ili kuboresha hali zao za maisha, wengi wao wameamua kujipanga katika vyama na ushirika kwa lengo la kuanzisha shughuli za kuzalisha kipato na kuimarisha ustahimilivu wao wa kiuchumi.
Mwandishi wetu Balen Havyarimana na ripoti kamili.

Malawi - Kupanda kwa ada ya vyuo kumeleta mjadala mkubwa katika jamii nchini Malawi
06:05

Drc- Wakazi wengi wa wilaya ya Kalehe watoa wa wito wa amani
05:24

Bei ya mazao imepanda kutokana na mipaka kufungwa kwa sababu za Ebola
04:22