Wakulima wa Rutshuru, Kivu Kaskazini, wanakabiliwa na kushuka kwa bei za mazao kutokana na kudorora kwa biashara za mpakani na Uganda na Rwanda baada ya kufungwa kwa mipaka kufuatia mlipuko wa Ebola.
Mwandishi wetu M’molelwa M’seke Dide ametuandalia na kututumia ripoti ifuatayo.

Burundi - Vijana kupambana na uhaba wa ajira Burundi
06:46

Malawi - Kupanda kwa ada ya vyuo kumeleta mjadala mkubwa katika jamii nchini Malawi
06:05

Drc- Wakazi wengi wa wilaya ya Kalehe watoa wa wito wa amani
05:24