Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Afrika Kusini_ Wakongo wawili waliotaka kuingia katika mkutano wa SADC mahakaman

View descriptionShare
 

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
1,482 clip(s)
Loading playlist

Afrika Kusini: Raia wawili wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wanaotuhumiwa kujaribu kuingia bila kibali katika Mkutano wa SADC uliofanyika mwezi huu mjini Durban, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Durban.


Manasse bin Bendera alifanya mahojiano na Chris Kashindi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Durban, Afrika Kusini. Katika mahojiano hayo, Manasse alimuuliza kama anaweza kueleza kwa ufupi kilichotokea Durban na jinsi raia hao wawili wa DRC walivyokamatwa; Chris Kashindi alianza kwa kuelezea.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,619 clip(s)