Darubini ya Afrika (Kiswahili)Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Afrika Kusini_ Mkutanbo wa 46 wa SADC unaendelea mjini Durban

View descriptionShare
 

Afrika Kusini: Viongozi kadhaa wamewasili Durban, Afrika Kusini, kwa Mkutano wa 46 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC, ambapo masuala ya amani na usalama yanatarajiwa kutawala majadiliano.


Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Kapele Mutachi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Durban, Afrika Kusini. Katika mahojiano hayo, Abedi alimuuliza ni masuala gani muhimu anayotarajia yatazungumzwa katika mkutano huo, Kapele Mutachi alianza kwa kutoa mtazamo wake.

  • Facebook
  • X (Twitter)
  • WhatsApp
  • Email
  • Download

In 1 playlist(s)

Darubini ya Afrika (Kiswahili)

Current Affairs featuring various segments.
Recent clips
Browse 1,619 clip(s)