Afrika Kusini_ Zimbabwe imeikabidhi Afrika Kusini uenyekiti wa SADCAfrika Kusini: Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amemkabidhi Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC.
Abedi Jean de la Croix alifanya mahojiano na Chris Kashindi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Durban, Afrika Kusini. Katika mahojiano hayo, Abedi alimuuliza ni masuala gani muhimu yaliyozungumzwa katika mkutano huo, Chris Kashindi alianza kwa kutoa mtazamo wake.