Drc_ Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema atua za amani zimepigwaDrc: Rais wa zamani wa Kenya, Uhuru Kenyatta, anayesimamia mchakato wa amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amesema kuwa wanafanya maendeleo.Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Asokolo Itabelo, mchambuzi wa siasa kutoka Durban hapa nchini, Abedi alimuuliza kama anakubaliana na kauli ya Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, Asokolo alianza kwa kueleza.