Rais wa Burundi yuko katika ziara ya kikazi ya siku mbili nchini DrcRais wa Burundi na Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika, Évariste Ndayishimiye, anatarajiwa kuwasili leo, Jumatatu Juni 22, mjini Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa ziara ya kikazi ya saa 48.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Omar Kavota, yeye ni mchambuzi wa siasa za Drc na maziwa makuu, Abedi alimuuliza kama anazungumziaji mchango wa Burundi katika kusaidia kurejesha amani nchini Drc, Omar Kavota alianza kwa kutoa mtazamo wake.