DRCWaasi wa M23 wanaendelea kuiteka miji zaidi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo baada ya kuuteka mji wa Kanyabayonga mwisho mwa juma lililopita, sasa wameuteka mji wa Kirumba, Jimboni Kivu Kaskazini nchini humo.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Singi Kasereka, ambaye ni mwenyekiti wa mashirika ya kiraia katika mji wa Kanyabayonga, Kivu Kaskazini-Drc, amezungumza na Abedi akiwa ukimbizini Butembo nchini humo, Kasereka alianza kueleza zaidi kuhusiana na hali halisi katika maeneo hayo.