Monusco nchini DRC imerejesha nyumbani raia 34 wa RwandaUjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Drc, MONUSCO, kupitia kitengo chake cha kupokonya silaha, kurejesha wapiganaji na kuunganisha familia, umewarejesha nyumbani raia 34 wa Rwanda, wakiwemo wapiganaji wa zamani 15 wa FDLR na wanafamilia 19.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na Esaie Katasi, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Beni-Drc, Abedi alimuuliza kama amepokeaje taarifa hizi, Esaie Katasi alianza kwa kujibu.